clock

MAANA YA LUGHA NA AINA ZAKE

LUGHA YA MAZUNGUMZO NA LUGHA YA MAANDISHI
Maana ya lugha
Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu za binadamu zenye mpangilio maalumu wenye kuleta maana zilizokubalika na jamii husika ili ziweze kutumika katika mawasiliano.
KUNA AINA KUU MBILI ZA LUGHA
(i)   Lugha ya mazungumzo na
(ii)   Lugha ya maandishi

No comments:

Post a Comment

<marquee>UTUMIAJI WA LUGHA</marquee>

UTUMIAJI WA LUGHA Katika utumiaji wa lugha tutaangalia ni kwa jinsi gani lugha inavyotumika katika mazingira mbalimbali ili tuu kuweza kuf...