DHIMA ZA MISIMU
· Kukuza lugha
· Kupamba lugha
· Kufanya mawasiliano yawe mafupi na yenye kueleweka kwa haraka.
· Kuwa na siri/ hupunguza ukali wa maneno wakati wa mazungumzo ya kawaida
· Kuhifadhi historia ya jamii
· Kuibua hisia mbalimbali za wazungumzaji
· Kufurahisha na kuchekesha
· Kukosoa na kuihasa jamii
Kuunganisha watu na makundi mbalimbali.
No comments:
Post a Comment