clock

LUGHA YA MAANDISHI NA SIFA ZAKE

LUGHA YA MAANDISHI

Ni lugha ambayo huwasilishwa kwa njia ya maandishi na ni  kiwakilishi cha lugha ya mazungumzo.

SIFA ZA LUGHA YA MAANDISHI
1.       Mwandishi na msomaji, mwandishi chanzo na msomaji kikomo.;
2.       Nyenzo kubwa ya uwasilishwaji wake ni maandishi.
3.       Haibadiliki badiliki  ikishaandikwa hubaki vilevile hata kama ni makosa
4.       Huitaji kufikiri kwa makini kabla ya kutoa. Hivyo ina maadili ambayo mwandishi hufanya ili afanikiwe zoezi lake.
5.       Hudumu kwa muda mrefu kama kumbukumbu baada ya kuandikiwa.

No comments:

Post a Comment

<marquee>UTUMIAJI WA LUGHA</marquee>

UTUMIAJI WA LUGHA Katika utumiaji wa lugha tutaangalia ni kwa jinsi gani lugha inavyotumika katika mazingira mbalimbali ili tuu kuweza kuf...